| ★ | Wandayi asema muungano wa wafanyabiashara haramu wanachangia maafisa kuu kuondolewa serikalini | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 6.0K | Kenia | |
| 6 | KTN yaandika barua wazi kwa Rais Ruto ikimtaka uwajibikaji juu ya ahadi na hali ya uchumi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 67.7K | Kenia | 96 |
| 3 | Muungano wa upinzani wamshutumu Rais Ruto kufuatiua kupanda kwa bei ya mafuta nchini | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 34.7K | Kenia | 97 |
| 13 | Swali zaibula kwa nini Kenya hulipa mafuta ghali kuliko majirani licha ya uagizaji kupitia Mombasa | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 20.6K | Kenia | 96 |
| 4 | Washukiwa wawili wakamatwa Githunguri kwa madai ya utekaji na mauaji ya mtoto mdogo | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 17.2K | Kenia | 97 |
| 10 | Nauli zapanda kwa asilimia 25 katika sekta ya usafiri kufuatia ongezeko la bei ya mafuta nchini | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 10.4K | Kenia | 96 |
| 8 | Upinzani wampa Rais Ruto siku saba kupunguza bei ya mafuta au wakabili maandamano | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 9.2K | Kenia | 96 |
| 20 | Bei ya mafuta yapanda, nauli za matatu zapandishwa kwa asilimia 25 huku mgomo ukitishia | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 7.2K | Kenia | 95 |
| 12 | TSC yasitisha makato katika KEWOTA huku walimu laki maoja waelekea mahakamani kudai marejesho | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 5.7K | Kenia | 96 |
| 2 | Kamati ya seneti yazuru Mombasa wakihakikisha uwepo wa mafuta ya kutosha nchini | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 5.3K | Kenia | 97 |
| 1 | Muungano wa walinzi wapinga mswada wa kuwapa wahitimu wa NYS kazi ya kulinda kampuni binafsi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 4.1K | Kenia | 97 |
| 5 | waendeshaji bodaboda waonywa dhidi ya kutumiwa kisiasa kuzua vurugu mbele ya uchaguzi mkuu | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 3.2K | Kenia | 97 |
| 16 | Ongezeko la bei ya mafuta latishia kupandisha gharama ya maisha na kushusha uwezo wa ununuzi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 2.9K | Kenia | 96 |
| 7 | Rais Ruto ahakikishia taifa hatua za kupunguza athari za kupanda kwa bei ya mafuta | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 2.3K | Kenia | 96 |
| 15 | IEBC yafafanua usajili wa wapiga kura huku yakikiri haina mamlaka kushughulikia vurugu ya sasa | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 2.0K | Kenia | 96 |
| 9 | Pendekezo la sheria ya pensheni lataka Wakenya wachangie hata kupitia kukodi bidhaa | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.9K | Kenia | 96 |
| 14 | Bei ya mafuta yaathiri usafiri katika kaunti mbalimbali huku trafiki yapungua kwa mabarabara kuu | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.6K | Kenia | 96 |
| 17 | Mashirika ya kibinafsi yahamasisha vijana Nairobi kujiandikisha kupiga kura kabla ya uchaguzi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.4K | Kenia | 95 |
| 11 | Wakaazi kutoka Machakos walalamikia kupanda kwa nauli wakisema maisha yamekuwa magumu zaidi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.1K | Kenia | 96 |
| 18 | Wakaazi wa Webuye Magharibi wahimizwa kujiandikisha kupiga kura kabla ya uchaguzi mkuu ujao | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 587 | Kenia | 95 |
| 19 | Maafisa wa shirikisho la FIFA watoa mwongozo kwa Kenya, Uganda na Tanzania kuelekea AFCON | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 410 | Kenia | 95 |