| ★ | Washukiwa wawili wakamatwa Githunguri kwa madai ya utekaji na mauaji ya mtoto mdogo | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 17.2K | Kenia | |
| 5 | Wakazi katika mpaka wa Kenya na Uganda wapata huduma za matibabu bila malipo | | — | Kenia | 84 |
| 6 | Kimende: wakazi waandamana kupinga ongezeko la visa vya uhalifu na usambazaji wa mihadarati | | — | Kenia | 84 |
| 15 | Huzuni yatanda katika mazishi ya Shantel Waruguru wa miaka 10, anayedaiwa kubakwa na kuuawa kikatili | | — | Kenia | 83 |
| 4 | Uhuru atetewa na viongozi kuhusu matamshi yake ya mstakabali wa siasa ya 2027 | | 56.0K | Kenia | 84 |
| 14 | Wakazi wa Kakamega walalamikia toroli zinazobeba maiti wakisema zinawatia wasiwasi wagonjwa | | 43.3K | Kenia | 83 |
| 13 | Siasa na ODM zakabiliwa na mvutano baada ya miezi sita baada ya kifo cha Raila Odinga, | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 37.2K | Kenia | 83 |
| 7 | Jackson Titio kutoka Dandoa akabidhiwa nyumba ya makazi nafuu mjini Machakos | | 16.1K | Kenia | 84 |
| 17 | Nauli zapanda kwa asilimia 25 katika sekta ya usafiri kufuatia ongezeko la bei ya mafuta nchini | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 10.4K | Kenia | 82 |
| 19 | Washukiwa wawili wa mihadarati wakamatwa Kakamega | | 5.7K | Kenia | 82 |
| 12 | waendeshaji bodaboda waonywa dhidi ya kutumiwa kisiasa kuzua vurugu mbele ya uchaguzi mkuu | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 3.2K | Kenia | 83 |
| 3 | Ongezeko la bei ya mafuta latishia kupandisha gharama ya maisha na kushusha uwezo wa ununuzi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 2.9K | Kenia | 85 |
| 9 | Wakaazi wa Rift Valley waonya kuhusu hali ngumu kiuchumi kufuatia kupanda kwa bei ya mafuta | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 2.7K | Kenia | 83 |
| 10 | Wakazi wa Gatumbi waandamana kutokana na uharibifu wa vyuma | | 2.7K | Kenia | 83 |
| 8 | Bei ya mafuta yaathiri usafiri katika kaunti mbalimbali huku trafiki yapungua kwa mabarabara kuu | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.6K | Kenia | 83 |
| 2 | Mashirika ya kibinafsi yahamasisha vijana Nairobi kujiandikisha kupiga kura kabla ya uchaguzi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.4K | Kenia | 85 |
| 1 | Wakaazi kutoka Machakos walalamikia kupanda kwa nauli wakisema maisha yamekuwa magumu zaidi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.1K | Kenia | 90 |
| 18 | Seneti yakagua mafuta yasiyofaa KPC Mombasa yakidaiwa kuwa na kiwango kikubwa cha sulphur | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 951 | Kenia | 82 |
| 11 | Wakaazi wa Webuye Magharibi wahimizwa kujiandikisha kupiga kura kabla ya uchaguzi mkuu ujao | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 587 | Kenia | 83 |
| 20 | Wazazi shule ya msingi ya Kutus wameeleza wasiwasi kuhusu hali mbovu ya vyoo | | 512 | Kenia | 81 |
| 16 | Shule ya msingi ya Sony Sugar yaandaa siku ya kitamaduni kuwawezesha wanafunzi kuonyesha vipaji vyao | | 276 | Kenia | 82 |