| ★ | Wakenya waliojenga kwenye maeneo ya hifadhi ya mito hawatapata fidia | | 9.0K | Kenia | |
| 20 | Huzuni yatanda katika mazishi ya Shantel Waruguru wa miaka 10, anayedaiwa kubakwa na kuuawa kikatili | | — | Kenia | 83 |
| 2 | Je, barua ya gavana Kang'ata kwa rais Ruto ni wa ukweli ama anatetea maslahi yake binafsi? | | 236.6K | Kenia | 85 |
| 18 | Ofisi ya Raila yasalia mahame huku mvutano wa ODM ukiongezeka baada ya Oburu kuchukua usukani | | 161.5K | Kenia | 83 |
| 1 | Uhuru atetewa na viongozi kuhusu matamshi yake ya mstakabali wa siasa ya 2027 | | 56.0K | Kenia | 90 |
| 8 | Siasa na ODM zakabiliwa na mvutano baada ya miezi sita baada ya kifo cha Raila Odinga, | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 37.2K | Kenia | 83 |
| 5 | Jackson Titio kutoka Dandoa akabidhiwa nyumba ya makazi nafuu mjini Machakos | | 16.1K | Kenia | 84 |
| 9 | Upinzani wampa Rais Ruto siku saba kupunguza bei ya mafuta au wakabili maandamano | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 9.2K | Kenia | 83 |
| 13 | Kesi ya afisa wa polisi wa Makueni yaendelea kusikizwa kuhusu kifo cha mtoto katika kituo cha polis | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 7.7K | Kenia | 83 |
| 11 | Washukiwa wawili wa mihadarati wakamatwa Kakamega | | 5.7K | Kenia | 83 |
| 16 | Waogeleaji wa Kisumu wako tayari kuandikisha matokeo ya kufana katika mashindano ya kitaifa | | 4.3K | Kenia | 83 |
| 4 | Salma Gureye, anayekabiliwa kashfa inayohusishwa na zaidi ya USD 394,000 afika mahakamani | | 4.1K | Kenia | 84 |
| 10 | Ongezeko la bei ya mafuta latishia kupandisha gharama ya maisha na kushusha uwezo wa ununuzi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 2.9K | Kenia | 83 |
| 6 | Baraza la Magavana laweka matumizi ya takwimu kuwa kiini cha maamuzi katika kaunti zote 47 | | 2.6K | Kenia | 84 |
| 14 | Bei ya mafuta yaathiri usafiri katika kaunti mbalimbali huku trafiki yapungua kwa mabarabara kuu | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.6K | Kenia | 83 |
| 3 | Mashirika ya kibinafsi yahamasisha vijana Nairobi kujiandikisha kupiga kura kabla ya uchaguzi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.4K | Kenia | 84 |
| 7 | Wakaazi kutoka Machakos walalamikia kupanda kwa nauli wakisema maisha yamekuwa magumu zaidi | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 1.1K | Kenia | 84 |
| 19 | Seneti yakagua mafuta yasiyofaa KPC Mombasa yakidaiwa kuwa na kiwango kikubwa cha sulphur | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 951 | Kenia | 83 |
| 15 | Wakaazi wa Webuye Magharibi wahimizwa kujiandikisha kupiga kura kabla ya uchaguzi mkuu ujao | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 587 | Kenia | 83 |
| 17 | Maafisa wa shirikisho la FIFA watoa mwongozo kwa Kenya, Uganda na Tanzania kuelekea AFCON | KTN News Kenya @ktnnews_kenya | 410 | Kenia | 83 |
| 12 | Wakulima kutoka kaunti ya Machakos wahimizwa kujiandaa kwa msimu wa upanzi | | 138 | Kenia | 83 |